Thêm bài hát từ Marioo
Thêm bài hát từ Bien
Mô tả
Tác giả: Marioo
Tác giả: Biên
Nhà sản xuất: Kanibal
Sáng tác: Marioo
Sáng tác: Biên
Lời bài hát và bản dịch
Bản gốc
Uuh-uuh, yeah, kutoka alooh
Mmh (it's Kaniba)
Nilikutana naye Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ah, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
She's my number, ah, number, ah moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Now she's my number, ah, number, ah, moja
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
Tulipatana Bongo, Mikocheni
Niko zangu beach nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie
Habari gani mbona uko lonely
Jina ni gani akasema Zari
Nikamwambia aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu uwe wake
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mi' na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiyayah, aah
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah
Oh, yeah, tushaoana
Ooh, alooh!
Bản dịch tiếng Việt
Uuh-uuh, vâng, kutoka alooh
Ừm (là Kaniba)
Nilikutana naye Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Ôi, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, ồ
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
À, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Cô ấy là số của tôi, ah, số, ah moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Bây giờ cô ấy là số của tôi, ah, số, ah, moja
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, à)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, à)
Tulipatana Bongo, Mikocheni
Bãi biển Niko zangu nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Ôi, xác sống Mikocheni nikamfata utadhani
Habari gani mbona uko cô đơn
Jina ni gani akasema Zari
Nikamwambia aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu uwe Wake
Watangoja Sana
Wakidhania tutaachana
Mi' na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiyayah, à
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, à
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah
Ồ vâng, tushaoana
Ồ, ôi!